blogs

Narcotics Anonymous Tanzania (NATZ)

|

     Salamu na heri za sikukuu kutoka kwet hapa NATZ! Tunatumai tutaendelea kuwa pamoja katika mwaka mpya wa 2007, unaoanza rasmi baada ya masaa machache kutoka sasa hivi. Kwa upande wetu sisi hapa NATZ, tutaendelea kuhakikisha kuwa tunatimiza lengo kuu la NATZ - kumfikishia ujumbe wa tiba ya NATZ kila mlevi ambaye bado anateseka na kuteswa na ulevi.



Camcorders, cassava and crude...

| |

...is the title of an article in "ICT Update" (an online "bulletin" on the use of ICT in agricultural development), about our ongoing project in the Niger Delta.  Here's the link.



Digital pictures and seeing

|

Everybody travels with a digital camera these days.

Digital photographers face a couple of problems, however. One is that your memory cards get full half way through your holiday no matter how many gigabytes of storage you brought. Second, going digital has just aggravated the old problem of finding an audience for those 10,000 holiday picts that no longer lie around in shoe-boxes but take up space on your computer hard drives.



Narcotics Anonymous (NA) Tanzania

|

   NA  Tanzania inatimiza mwezi mmoja tangu kuanzishwa. Ilikuwa mnamo tarehe 14 Novemba, 2006, siku ambayo Edward, Khadija na Stephane walianzisha NA Tanzania kwenye bwawa la Maweni, juu ya milima ya Usambara, kaskazini mashariki mwa Tanzania. Shukrani za dhati tunazielekeza kwa utawala na watumishi wa Maweni Farm Ltd, kwa kutengeneza mazingira yaliyowezesha tukio hilo.



Narcotics Anonymous (Tanzania)

|
Mila kumi na mbili za Narcotics Anonymous (NA)
Tunabaki na tulichonacho kwa kuwa macho na makini muda wote, na kama vile uhuru wa mtu unavyotokana na misingi au hatua kumi na mbili, basi uhuru wa kikundi unatokana na mila kumi na mbili.
Ili mradi vinavyotuunganisha ni imara kuliko vinvyotugawanyisha, yote ni njema.
1.



One Hundred Tea Growers

Today we had a hundred tea growers -- industry people, experts, farmers, government officers -- from he whole country for lunch in Maweni. They have gathered in Lushoto for a week-long campaign to revive the tea industry. Having seen smallholder tea growing decline for decades and entire villages sink into poverty, we can only applaud the effort.



Paradise flycatcher chick emergency

|

The wildlife of Maweni is not like Serengeti's. The top predators here are not lions but moderately dangerous eagle owl, monitor lizard, honeybadger (but you should see their teeth!). And then we have the ugly monster: the neigbouring priests' cat. A lazy, chameleon-eating, fish-stealing, bird-terrorising, rat-ignoring, anti-social creature, who does not even like children.

Today a paradise flycatcher chick fell down to the ground from a nest in one of the avocado trees around the front yard. I am not saying the cat caused it, but it happened to be nearby, licking it's mouth. Fortunately, guests and staff rushed to the scene and rescued the little chick in front of the drewling monster's jaws.



Soni Falls is back

Last year, the waterfall in Soni dried up almost completely for the first time in history. Now after many weeks of daily rainfall, it is full of water. This stream has a watershed that covers a large part of the West Usambaras



Pombe kupita kiasi. Too much beer

Pombe kupita kiasi ni mbaya. Hebu angalia huyu mtu amepoteza fahamu na amelala bila yeye kujitambua katika Uwanja wa Fisi. Sisi tulijua ameshakufa na tulishindwa kumsaidia au kumshika kwa sababu tuliogopa tutashtakiwa baadaye. Kumbe, kesho yake tulisikia kwamba baada ya masaa kadhaa aliamka na kuweza kuondoka mwenyewe. Yeye ni mwuza machungwa sokoni ya Tandale na akishauza anakuja kulewa moja kwa moja. Pombe zinazouzwa kule ni kabunguz, mwamba, chibuko, pingu, dakika tatu, wanzuki ikiwemo na gongo. Haya ni baadhi ya matukio ya Uwanja wa Fisi usiku. Balaa tupu. Naomba hizi pombe zipitiwe na TBS.



Narcotics Anonymous (NA) Tanzania

|

Misingi ya Narcotics Anonymous

Kama unataka tunachokigawa, na uko tayari kufanya jitihada kuipata, basi uko tayari kuchukua hatua fulani. Hii ni misingi iliyotuwezesha sisi kuushinda ulevi wetu.



Syndicate content