fisi

Mtoto abakwa Uwanja wa Fisi

|

Jana tarehe 30 Machi nilikuwa nikipitapita pale uwanja wa fisi nikasikia vijana wakisemasema kuwa kuna mwenzao aliyemchukua mtoto mdogo akaenda naye.

Mtoto huyo alimwelezea kuwa alifukuzwa kule anakofanyia kazi za ndani alipofukuzwa akawa anahangaika huku na huko mara akaibukia uwanja wa fisi akakutana na huyo kijana ambaye alimwelezea matatizo yake. Huyo kijana akamuuliza anatokea wapi mtoto akamjibu kuwa anatokea Singida. Hapo akamwambia kuwa yeye ni kaka yake kwa hivyo akaenda naye hadi kwake.



Syndicate content